Afya comedy ni jukwaa maalumu la ucheshi lenye lengo la kukuelimisha kuhusiana na maswala mbalimbali ya Afya kwa njia ya vichekesho kutoka kwa wachekeshaji mbalimbali.
-Jukwaa hili linatengeneza maudhui katika njia ya mijadala kwa namna ya kumvutia kila mmoja kusikiliza na kupokea ujumbe kwa kile anachohitaji kufahamu kuhusu afya yake pamoja na magonjwa mbali mbali.
-Katika jukwaa hili kila mmoja mwenye uwezo wa kuchekesha atapata nafasi kushiriki, lengo pia ni kuinua vipaji na kuwatengenezea vijana ajira katika nyaja hii ya sanaa.
-Mbali na ukurasa huu pia kipindi hiki kinaonekana kupitia TVE Tanzania kila jumatano saa 3:30 usiku, marudio ni alhamis saa 9:30 na jumapili saa 10:30 Alasiri
-Kwa msaada, maoni na ushauri wasiliana nasi kupitia: +255757180994. Asante kuwa sehemu ya maendeleo yetu
-Jukwaa hili linatengeneza maudhui katika njia ya mijadala kwa namna ya kumvutia kila mmoja kusikiliza na kupokea ujumbe kwa kile anachohitaji kufahamu kuhusu afya yake pamoja na magonjwa mbali mbali.
-Katika jukwaa hili kila mmoja mwenye uwezo wa kuchekesha atapata nafasi kushiriki, lengo pia ni kuinua vipaji na kuwatengenezea vijana ajira katika nyaja hii ya sanaa.
-Mbali na ukurasa huu pia kipindi hiki kinaonekana kupitia TVE Tanzania kila jumatano saa 3:30 usiku, marudio ni alhamis saa 9:30 na jumapili saa 10:30 Alasiri
-Kwa msaada, maoni na ushauri wasiliana nasi kupitia: +255757180994. Asante kuwa sehemu ya maendeleo yetu
Show More